Mon, 4 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
height="400" Simba SC inakuwa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufuzu kwenye michuano hiyo hii ni baada ya watani zao wa jadi klabu ya Yanga kutolewa kwenye michuano hiyo siku ya jana.
Simba watakutana na wababe waliowatoa Yanga, Kakamega HomeBoyz FC siku ya Alhamisi Juni 07, 2018.
Loading...
Chanzo: bongo5.com