Wed, 20 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
/>
Mabao ya Japan yakifungwa na kiungo wake anayekipiga klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani, Shinji Kagawa pamoja na Yuya Osako wakati la Colombia likifungwa na kiungo mshambuliaji, Juan Quintero ambaye anakipiga kwenye klabu ya River Plate kutoka nchini Argentine.
Kwa matokeo hayo Japan inatangulia kileleni mwa msimamo wa kundi hilo la H, huku ikisubiria mchezo wa Senegal na Poland.
Loading...
Chanzo: bongo5.com