Wed, 7 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs na timu ya taifa ya Uingereza, Delle Alli huenda akaingia kwenye wakati mgumu baada ya mkanda wake wa ngono (Sextape) kuvuja mtandaoni.
Video hiyo inayosambaa kwa kasi mitandaoni inamuonesha Delle Alli akiwa amesimama huku mwanamke ambaye hajatambulika kwa jina akimlamba sehemu zake za siri.
Delle Alli (21) ameonekana kwenye video hiyo fupi ya sekunde 11 akifurahia tukio hilo huku ikisikika sauti ya mtu aliyekuwa akimrekodi akimuita.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kutoka kwenye tovuti mbalimbali za mjini Liverpool zimesema kuwa video hiyo ilirekodiwa baada mechi ya Liverpool dhidi ya Tottenham iliyoisha kwa sare ya 2-2 iliyochezwa jumapili ya wikiendi iliyopita. Tazama video hiyo hapa chini
#DeleAlli leaked video!! #video #leak #nude @dele_official pic.twitter.com/TNeCfHXj1c
— ThisIsJacob (@OFFICIALSKILLZ4) February 6, 2018
Chanzo: bongo5.com