Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Sevilla yatinga fainali ya Copa del Rey kibabe

Fri, 9 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya Sevilla usiku wa kuamkia leo imefanikiwa kutinga fainali ya kombe la Mfalme nchini Hispania kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Leganes.



Kwenye mchezo wa kwanza timu hizo zilitoka sare ya goli 1-1 ambapo Sevilla imetinga fainali kwa jumla ya magoli 3-1.

Magoli hayo yaliyofungwa na Joaquin Correa na Franco Vazquez yamekamilisha safari ya Secvilla ambapo leo kuna mtanange mwingine kati ya Barcelona na Valencia ili kupata timu nyingine ya kwenda fainali.

 

Chanzo: bongo5.com