Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Afrika Kusini imekuwa timu ya kwanza kushinda Kombe la Dunia la Rugby mara nne hii ni baada ya kuichapa New Zealand 12-11 kwenye fainali iliyopigwa Uwanja wa Stade de France Ufaransa .
Afrika Kusini imekuwa timu ya kwanza kushinda Kombe la Dunia la Rugby mara nne hii ni baada ya kuichapa New Zealand 12-11 kwenye fainali iliyopigwa Uwanja wa Stade de France Ufaransa . Hii inafanya kuwa timu ya Rugby iliyofanikiwa zaidi Duniani .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live