Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Sanchez kuitumikia Man United kwa mara ya kwanza leo michuano ya FA Cup

Fri, 26 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya Manchester United kwa mara ya kwanza inatarajia kumtumia mshambuliaji wake raia wa chile, Alexis Sanchez katika michuano ya FA Cup pale itakapo kuwa ugenini dhidi ya Yovil katika dimba la Huish Park.



Historia inaonyesha kuwa United mara kadhaa inapokutana na Yovil imekuwa ikifanya vizuri .

Mchezo mwingine wa michuano hiyo ni unaotarajiwa kupigwa hii leo ni timu ya Shifeld Wednesday itakuwa nyumbani kuikabili Reading huku Liverpool watakuwa wakicheza dhidi ya West Bromwich hapo kesho siku ya Jumamosi.

Chanzo: bongo5.com