Wed, 20 Jan 2021
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo saa 1:00 usiku itatupa karata yake ya kwanza katika michuano ya CHAN kwa kucheza na Zambia maarufu Chipolopolo.
Taifa Stars mara ya mwisho kucheza na Zambia ilikuwa kwenye COSAFA ambapo Tanzania ilipoteza magoli 4 – 2.
Kocha Mkuu wa Taifa Stars ni Etienne Ndayiragije akisaidiwa na Kocha Selemani Matola.
Chanzo: zanzibar24.co.tz