Mon, 28 May 2018
Chanzo: bongo5.com
height="400" class="wp-caption-text">Cristiano Ronaldo
Ronaldo amewaacha wakongwe wawili, Andrés Iniesta ambaye amechukua mara nne akiwa na Barcelona na kiungo wa zamani wa klabu ya AC Milan, Clarence Clyde Seedorf waliokuwa naye pamoja kwa kuchukua kombe hilo mara nne.
Miaka ya Iniesta aliyochukua Kombe la UEFA akiwa na BarcelonaRonaldo amechukua mara tano akiwa na klabu mbili, Manchester United mwaka 2007/08 huku akichukua mara tano akiwa na Real Madrid.
2005/06 (Barcelona)
2008/09 (Barcelona)2010/11 (Barcelona)
2014/15 (Barcelona)
Miaka ya Seedorf aliyochukua kombe la UEFA akiwa na klabu tatu tofauti tofauti.
1994/95 (Ajax)
1997/98 (Real Madrid)2002/03 (Milan)
2006/07 (Milan)
Japo Messi, Gerard Pique na Xavi Hernandez wamechukua mara nne lakini kuna fainali moja hawakucheza uwanjani tofauti na Ronaldo ambaye yeye kwenye fainali zote alizoshinda taji hilo amecheza.
Xavi Hernández: 2006*, 2009, 2011, 2015 (Barcelona)*Ni miaka ambayo wachezaji hao hawakucheza kwenye michezo ya fainali wakati Barcelona ilipoibuka mabingwa wa klabu bingwa barani Ulaya.Lionel Messi: 2006*, 2009, 2011, 2015 (Barcelona)
Gerard Piqué: 2008*, 2009, 2011, 2015 (Manchester United, Barcelona)
Loading...
Chanzo: bongo5.com