Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ratiba ya nusu fainali ya UEFA imetoka, ‘mtoto hatumwi dukani’

6393 Uefa Champions League Wallpaper By Jafarjeef Dblm14i TZW

Fri, 13 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Hayawi hayawi na sasa yamekuwa.



Hatimaye droo ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya imepangwa.



Katika hatua hiyo Bayern Munich wataanzia nyumbani kucheza na Real Madrid na Liverpool wamepangwa kucheza na AS Roma ya Italia.

Chanzo: bongo5.com