Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ratiba ya nusu fainali ya FA imetoka, Man United hali ngumu

4991 FA Cup 2016 17.png

Mon, 19 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Ratiba ya hatua ya mechi za nusu fainali kombe la FA imetoka usiku ya kuamki leo.



Mechi inayosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa mchezo huo ni kati ya Manchester United ambao wamepangwa kucheza na Tottenham Hotspur.

Wakati huo huo Chelsea wao wamepangiwa kucheza na Southampton.

Mechi hizozinatarajiwa kuchezwa April 21 na 22 ya mwaka huu, na mechi ya fainali itachezwa Jumamosi ya Mei 19 katika uwanja wa Wembley.

Chanzo: bongo5.com