Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ratiba ya mechi ya Mbao dhidi ya Ndanda yabadilika

7622 LIGI TZW

Tue, 8 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Ratiba ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Klabu ya Mbao FC ya mkoani Mwanza dhidi ya Ndanda FC ya Mtwara uliopangwa kupigwa Mei 11, 2018 warudishwa nyuma.

Mchezo huo sasa utachezwa Mei 10,2018 ubadala ya Mei 11 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Taarifa kutoka ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF limeeleza kuwa sababu ya kurudishwa nyuma kwa siku moja mchezo huo ni kutokana na Uwanja wa CCM Kirumba kuwa na matumizi mengine ya kijamii. 



Loading...
Chanzo: bongo5.com