Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Zlatan Ibrahimovic apokewa kifalme na mashabiki Marekani

5536 4AAFA19C00000578 5561633 Image A 12 1522396564855 TZW

Sat, 31 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic amepokelewa kifalme na mashabiki wa timu yake mpya ya LA Galaxy ya nchini Marekani.



Ibrahimovic alitua katika uwanja wa ndege wa Los Angeles International Airport na kukutana na umati mkubwa wa mashabiki wa LA Galaxy.

March 23 ya mwaka huu, Zlatan alisaini mkataba wa kujiunga na timu hiyo ambayo inashiriki ligi kuu ya Marekani.









Chanzo: bongo5.com