Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Zlatan Ibrahimovic aanza mazoezi na LA Galaxy ya Marekani

5580 4AB3B0E700000578 5563603 Image A 28 1522446347946 TZW

Sat, 31 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Hatimaye mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic ameanza kufanya mazoezi na klabu yake mpya ya LA Galaxy ya Marekani.



Ibrahimovic (36) ambaye amekabiziwa jezi namba tisa, alikubali kujiunga na timu hiyo wiki iliyopita kwa mkataba wa miezi 18.

Mchezaji wakati akiongea kwenye mkutano wake na waandishi wa habari, amesema alitaka kujiunga na LA Galaxy tangu mwaka 2016 wakati alipomaliza mkataba wake na PSG lakini dili hilo lilibadilika na kutimkia Manchester United.









Chanzo: bongo5.com