Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha/Video: Dimitri Payet amvunja golikipa uwanjani

1439 4834539800000578 5277047 Image A 56 1516142869663

Thu, 18 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Vimbwanga vyazidi kuendelea katika ligi kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1. Katika usiku wa jana Olympique Marseille walikuwa katika uwanja wao wa nyumbani na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Strasbourg.



Kubwa zaidi lililoteka vichwa vya habari vya mchezo huo ni Dimitri Payet aliposababisha golikipa wa Strasbourg, Alexandre Oukidja kutoka nje katika dakika ya 89 kwa kumpiga chenga nzito.

Baada ya golikipa huyo kutoka nje nafasi yake ilichukuliwa na Landry Bonnefoi. Tazama video ya tukio hilo hapa chini.

Chanzo: bongo5.com