Fri, 9 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Mchezaji Robin van Persie hapo jana alifanikiwa kufunga goli lake la kwanza tangu ajiunge na klabu ya Feyenoord na kuisaidia timu hiyo kuchomoza na ushindi wa magoli 3 – 0 dhidi ya FC Groningen.
Van Persie ambaye amesajiliwa mwezi Januari tangu aondoke ndani ya klabu hiyo mwaka 2004 alipo jiunga na Arsenal alifanikiwa kufunga bao hilo dakika ya 78 akitokea benchi.
Picha za Van Persie akionekana kushangiria bao lake akiwa na wachezaji wenzake.
Chanzo: bongo5.com