Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: United yaongoza maelfu ya mashabiki kumbukumbu ya ajali ya ndege

2747 48ED9CC000000578 5357635 Image A 2 1517921369285 TZW

Wed, 7 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya Manchester United imeongoza maelfu ya mashabiki kutoa heshima zao katika kumbukumbu ya watu 23 waliyofariki dunia kufuatia ajali ya ndege iliyotokea huko Munich miaka 60 iliyopita.



Meneja wa timu hiyo, Jose Mourinho pamoja na wachezaji wake walikuwepo  katika viunga hivyo huku legendari wa Old Trafford, Sir Bobby Charlton ambaye alinusurika katika ajali hiyo ya Februari 6 mwaka 1958 akiwa ni miongoni mwa waliyohudhuria kwenye kumbu kumbu hiyo  akiwa sambamba na Sir Alex Ferguson.



Katika kumbu kumbu hiyo iliongozwa na kukaa kimya kwa muda na kuimba mashahiri mbalimbali.

Picha zikiwaonyesha wachezaji wa Man United, mashabiki na baadhi ya waliyo wahikuihudumia timu hiyo 







Wachezaji wa kikosi kilichopata ajali picha hii ikiwa ni kabla ya tukio hilo

Chanzo: bongo5.com