Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Simba yatua Kagera na wauaji wa Singida United

1580 466C737A00000578 5090329 Love Birds Selena Gomez Gave On Again Boyfriend Justin Bieber A  M 52 TZW

Fri, 19 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Mapema asubuhi ya leo kikosi cha klabu ya soka ya Simba kimetua mkoani Kagera kwa ajili ya kucheza mechi yao ya ligi kuu Tanzania Bara na Kagera Sugar.



Kikosi cha Simba kilivyowasili uwanja wa ndege wa Kagera

Simba waliondoka alfajiri kwa ndege huku ikiwa na wachezaji wake muhimu ambao jana waliiangamiza Singida United kwa mabao 4-0.



Simba ambao wanaongoza ligi hiyo inatarajiwa kucheza na Kagera Sugar Jumatatu ya wiki ijayo ya January 22 katika uwanja wa Kaitaba.

Chanzo: bongo5.com