Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Man City walivyoshangilia kuimaliza Arsenal ndani ya Wembley kwa kipigo cha ‘Mbwa Mwizi’

3845 28157099 1980676368866405 4141346477714702336 N TZW

Thu, 1 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Pep Guardiola amefanikiwa kushinda kombe lake la kwanza akiwa na Manchester City baada ya kuifunga Arsenal kipigo cha ‘Mbwa Mwizi’ cha mabao 3-0. Fainali hiyoimeifanya Arsenal kufikisha idadi ya kupoteza fainali ya sita kati ya nane ambazo wamewahi kucheza katika League Cup. Hizi ni baadhi ya picha za Man City walivyofurahia baada ya kuchinda kombe la Carabao Cup.



















Chanzo: bongo5.com