Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Iniesta atua ligi ya Japan

8341 Dd8 KFgU8AI69An TZW

Thu, 24 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Andres Iniesta amejiunga rasmi na klabu ya Vissel Kobe inayoshiriki ligi kuu ya nchini Japan.



Andres Iniesta akiwa na mmliki wa Vissel Kobe, Bilionea Hiroshi Mikitani ambaye pia ni CEO wa wadhamini wakuu wa Barcelona, Rakuten.

Iniesta amesaini mkataba wa miaka mitatu kuichezea timu hiyo.

Kiungo huyo ametambulishwa leo mbele ya waandishi wa habari na mmliki wa Vissel Kobe, Bilionea Hiroshi Mikitani ambaye pia ni CEO wa wadhamini wakuu wa Barcelona, Rakuten.

April 27 ya mwaka huu, Iniesta alitangaza rasmi kuondoka Barca baada ya kuicheza timu hiyo kwa miaka 22 na kushinda vikombe 31.





Loading...
Chanzo: bongo5.com