Mon, 26 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Mchezo wa Chelsea na Barcelona uliochezwa jana usiku katika ligi kuu ya mabingwa barani Ulaya (Uefa), uliwakutanisha wachezaji ambao ni marafiki walipoteana kwa muda mrefu.
Ilikuwa ni bahati kwa Cesc Fàbregas wa Chelsea kukutana na wachezaji wenzake wa zamani ambao alicheza nao katika klabu ya Barca kwa misimu takribani mitatu akiwemo Lionel Messi na wengine.
Chanzo: bongo5.com