Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Everton walivyosherehekea miaka 30 ya kufanya kazi na jamii kwenye Gala Dinner

3217 492D957000000578 5388363 Image M 25 1518564835809 TZW

Wed, 14 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya soka ya Everton ni moja kati ya timu za soka duniani ambayo imekuwa zikisaidia kwa ukaribu jamii. Usiku wa jana timu hiyo ilisherehekea miaka 30 ya kufanya kazi katika jamii katika chakula cha jioni.



Sherehe hiyo ambayo imepewa jina la Gala Dinner, ilifanyika katika ukumbi wa St George’s Hall uliopo katika mji wa Liverpool, ilihudhuriwa na kocha wao Sam Allardyce pamoja na mastaa mbalimbali wa klabu hiyo akiwemo, Wayne Rooney, Theo Walcott, Cenk Tosun.





Chanzo: bongo5.com