Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Atletico Madrid watua London kuwakabili Arsenal kwenye Europa League kesho

7088 DbocfHpW0AA4UQK 1 TZW

Thu, 26 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Kikosi cha klabu ya Atletico Madrid tayari kimetua mjini London jioni hii kwa ajili ya kucheza mchezo wao wa nusu fainali wa kombe la Europa League dhidi ya Arsenal.



Atletico wametua mjini hapo wakiwa na washambuliaji wao hatari Diego Costa na Fernando Torres ambao wote wanatarajiwa kucheza kwenye mchezo huo ikiwa ni mara yao ya kurudi tena Uingereza tangu walipoondoka.

Naye Antoine Griezmann ni miongoni mwa wachzaji ambao wamesafiri na timu hiyo. Tazama picha zaidi hapa chini.









Chanzo: bongo5.com