Wed, 28 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Mabondia wa uzito wa juu duniania, Anthony Joshua na Joseph Parker hii leo wamekutana mbele ya waandishi wa habari kuelekea mpambano wao nchini Uingereza.
Promota wa Joshua atoa onyo kali kwa timu nzima ya Joseph Parker
Joshua na Parker wanatarajia kuingia ulingoni Machi 31 mwaka 2018 siku ya Jumamosi ya wiki hii huko Cardiff .
Parker yupo fiti kumvaa Anthony Joshua wiki hii – Scott
Picha ambazo zikionyesha kilichoendelea katika mkutano wa mabondia hao hii leo
Chanzo: bongo5.com