Mon, 10 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi wa masumbwi nchini, Pendo Njau ametangazwa mwamuzi Bora wa mwaka 2024 kwenye tuzo zilizoandaliwa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT).
Mwamuzi wa masumbwi nchini, Pendo Njau ametangazwa mwamuzi Bora wa mwaka 2024 kwenye tuzo zilizoandaliwa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT). Tuzo hizo zinafanyika leo Jumapili, Juni 9, 2024 kwenye Ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live