Tue, 21 Jul 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Timu ya Polisi imeenza kutangaza vita na Kipanga baada ya timu hiyo kuing’oa Kipanga kutoka nafasi ya 6 na sasa nafasi hiyo ya 6 inashikiliwa na timu ya Polisi.
Polisi Jana iliwakaribisha Selem View katika uwanja wa Mau A Saa 10 ambapo Polisi iliwaadhibu Selem View kwa kuwafunga goli moja kwa mzunguko .
Ligi Kuu Zanzibar Leo inaendelea tena kwa kuchezwa michezo mitatu kwa kituo cha Unguja tu.
Story by www.dimbani.co.tz
Chanzo: zanzibar24.co.tz