Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

PICHA 16: Muonekano wa nyumba atakayokuwa anaishi Sanchez jijini Manchester

1966 488B912300000578 5308351 Image A 11 1516816260773 660x400

Fri, 26 Jan 2018 Chanzo: millardayo.com

Staa wa zamani wa Arsenal aliyejiunga na Man United katika kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili Alex Sanchez, zimeoneshwa picha za nyumba atakayokuwa anaishi jijini Manchester katika kipindi akiitumikia Man United.

Nyumba atakayokuwa anaishi Sanchez ina thamani ya pound milioni 2 na yupo jirani na mchezaji mwenzake wa Man City na timu ya taifa ya Chile Claudio Bravo, Sanchez kwa sasa ndio mchezaji anayelipwa pesa nyingi EPL, mshahara wake ni pound 350000 kwa wiki.

















 









Msimamo wa Kagera Sugar baada Nyosso kutoka kwa dhamana

Chanzo: millardayo.com