Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya mastaa wa muziki kuonekana hadharani au katika mitandao ya kijamii wakiwa na wapenzi wao, inawezekana pia umewahi kuwasikia au kuwaona mastaa mbalimbali wa soka Tanzania lakini hujawahi kupata nafasi ya kuwaona wakiwa na wake zao.
Leo February 17 2018 naomba nikusogezee upande wa pili wa maisha binafsi ya mastaa wa soka wa Bongo kama staa wa soka wa SimbaEmmanuel Okwi, Haruna Niyonzima, Aishi Manula, Frank Domayo, Juma Kaseja na Himid Mao hawa ni baadhi ya mastaa wa soka wa bongo ambao tayari wameamua kuingia kwenye maisha ya ndoa.
Golikipa namba moja wa Simba Aishi Manula
Golikipa namba moja wa Simba Aishi Manula akiwa na mkewe
Aishi Manula akiwa na mkewe
Mshambuliaji wa Simba raiwa wa Uganda Emmanuel Okwi
Emmanuel Okwi na mkewe Flora wakati akiwa mjamzito
Okwi na mkewe Flora
Okwi na mkewe Flora walipofunga ndoa
Frank Domayo
Frank Domayo wa Azam FC na mkewe siku ya harusi yao
Nahodha wa Azam FC Himid Mao
Himid Mao akiwa na mkewe Nana
Himid Mao akiwa na mkewe Nana pamoja na mtoto wao Balqis
Kutoka kushoto ni Haruna Niyonzima akiwa na wachezaji wenzake wa Simba SC
Niyonzima akiwa Aiport na mkewe
Niyonzima akiwa na mkewe siku ya Birthday ya mke wake.
Golikipa wa Kagera Sugar Juma Kaseja
Juma Kaseja akiwa na mkewe Nasra
Juma Kaseja na mkewe Nasra
Haji Manara amewasikia wanaoibeza Simba kutoka sare ya 2-2 vs Mwadui FC