Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Orodha ya majeruhi Yanga SC yatisha sasa wafika 11

Wed, 7 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Tatizo la majeruhi ndani ya klabu ya Yanga yazidi kuongezeka baada ya sasa kufikia 11 hali ambayo inatishia harakati za kuwania ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara msimu huu.



Kwa mujibu wa taarifa ya daktari wa timu hiyio Edward Bavu amekiri kufikia 11 mpaka sasa.

Wachezaji wetu 11 bado ni majeruhi, ni wazi hawatakuwa sehemu ya mchezo wa kesho- Dr Bavu.

@yangasc VS @njombemjifcofficial

1.YOUTHE ROSTAND

2.JUMA ABDUL

3.HAJI MWINYI

4.ABDALLAH SHAIBU

5.ANDREW VICENT

6.PATO NGONYANI

7.YOHANA NKOMOLA

8.THABAN KAMUSOKO

9.HAMIS TAMBWE

10.DONALD NGOMA

11.IBRAHIM AJIB

 

Chanzo: bongo5.com