Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Nywele zamfikisha Marouane Fellaini jarida la GQ Style

4705 4A252E7100000578 5494507 Image A 16 1520936585755 TZW

Tue, 13 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mchezaji wa klabu ya soka ya Manchester United, Marouane Fellaini, ataonekana katika jarida la GQ Style ambalo linatarajiwa kutoka wiki hii.



Fellaini anatokea kwenye jarida hilo kutokana na muonekano wake wa nywele ambazo amezoea kuzifuga kwa mtindo unaofahamika kama Afro. Mchezaji huyo Jumamosi iliyopita alifanikiwa kucheza mchezo wake wa 150 akiwa na Man United ambapo United waliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Liverpool.



Chanzo: bongo5.com