Wed, 7 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yanga walikuwa na kibarua cha kusaka alama tatu mbele ya matajiri wa Chamazi Azam FC mchezo uliopigwa katika dimba la Mkapa Jijini Dar.
Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya magoli 2-2 huku kiungo Feisal Salum akiwarudisha Yanga mchezoni mara mbili ambazo walitanguliwa.
Tanzaniaweb tunakusogezea matukio yote muhimu yaliyotokea katika mchezo huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live