Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

#NBCLIGIREVIEW: Tazama goli la Simba vs Tz Prisons (+Video)

Video Archive
Fri, 4 Feb 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Usiku wa Jna Simba iliikaribisha Timu ya Tanzania Prisons katika uwanja wa Mkapa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia ligi) 2021/2022.

Mchezo huo ni wa raundi ya 14, ambapo Simba waliibuka na ushindi wa goli 1-0 lililowekwa kimiani na Meddie Kagere.

Penati hiyo ambayo imelalamikiwa na wengi baada ya kuonekana mchezaji wa Prisons akiinua mkono kuukwepa mpira.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live