Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

N’Golo Kante atwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka (+Picha)

7830 Screen Shot 2018 05 11 At 15.11.57.png TZW

Fri, 11 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Kiungo wa timu ya taifa ya Ufaransa, N’Golo Kante ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka ndani ya klabu yake ya Chelsea.



Wakati winga wa klabu hiyo, Willian akifanikiwa kushinda tuzo mbili ambazo ni mchezaji bora chaguo la wachezaji na bao bora la msimu ambalo amefunga dhidi ya Brighton Jan 18.



Willian akiwa na tuzo yake ya goli la msimu

Kwenye tukio hilo lililofanyika siku ya Alhamisi limeishuhudia klabu hiyo yenye maskani yake Magharibi mwa jiji la London likisherehekea pamoja wachezaji na viongozi.



Eden Hazard (kushoto) na Cesar Azpilicueta (kulia)

Loading...
Chanzo: bongo5.com