Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya Klabu ya Simba, Hamisi Kilomoni ametamba kuwa atawafunga wapinzani wao Yanga SC kwenye mchezo wao wa ligi kuu soka Tanzania Bara utakao pigwa Aprili 29 siku ya Jumapili.
Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya Klabu ya Simba, Hamisi Kilomoni
Mzee Akilimali ashusha dua zito kabla ya kuikabili Simba ”Yaarabbi Yaarabbi turudishie umoja”
Mzee Kilomoni amesema kuwa licha ya mchezo huo kuwa mgumu wamewaandalia dozi wapinzani wao na kukiona cha mtama kuni.
Mech ya Jumapili itakuwa ngumu kwa sababu Simba na Yanga ni timu kubwa katika nchi hii, kwahiyo ni mchezo mgumu lakini tutafanya vizuri.Msimamo wa ligi kuu soka Tanzania BaraMazungumzo hayakosekani kuelekea kwenye mechi ya Simba na Yanga, lakini Yanga watakiona chamtama kuni ,tumewaandalia dozi utacheza na Yanga bila kuwaandalia dozi.
Tumewaandalia dozi ya Ujerumani watacheza marimba sisi tutacheza soka ninapocheza na Yanga jeuri lazima iwepo nawaambia wana Simba waje tu kwa wingi kuishabikia timu yao.
Niwakati wetu huu wa kuchukua ubingwa utakaaje miaka minne bila kunyakuwa taji.