Mon, 25 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Legend wa WWE, Hulk Hogan (70) kwa mara nyingine ameamua kuingia kwenye maisha ya ndoa baada ya ndoa zake mbili za nyuma kuvunjika.
Gwiji huyo wa WWE alifunga ndoa na Sky Daily mwenye umri wa miaka 45 siku ya Ijumaa, Septemba 22, huko Clearwater, Florida.
Hulk amefunga ndoa mara mbili hapo awali. Ndoa yake ya pili iliisha mnamo 2021 kwa talaka huku kukiwa na madai ya kutokuwa mwaminifu na migogoro ya kifedha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live