Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mwamuzi wa Tanzania, Jonesia Rukyaa kuchezesha michuano ya Algarve Cup Ureno

3344 Ttt.pngTZW

Fri, 23 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Shirikisho la soka Tanzania (TFF), limesema kuwa mwamuzi wa kike nchini mwenye beji ya Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA), Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuchezesha mchezo wa michuano ya Algarve kwa mwaka huu nchini Ureno zitakazo anaza Februari 28.



“Mwamuzi wa kike kutoka Tanzania mwenye beji ya FIFA Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuchezesha mechi za Algarve Cup 2018 nchini Ureno zitakazoanza Feb 28 hadi Machi 07, 2018.”

Michuano hiyo yaAlgarve ni michuano inayoshirikisha timu za wanawake ambayo itaanza kutimua vumbi mwezi huu wa Februari na kumalizika Machi 7 mwaka huu.

Jumla ya timu 12 zimealikwa katika michuano hii ambapo zitagawanyika katika makundi matatu wakati mataifa ya takayoshiriki ni.

 



 

 

Chanzo: bongo5.com