Bondia Hassan Mwakinyo leo ametembelea ofisi za Rais wa Klabu ya Yanga Sc Eng. Hersi Said na kukutana nae kwa lengo la kutoa shukrani kwa sapoti aliyoitoa kwa bondia huyo kwenye pambano lake lililofanyika Zanzibar January 27 mwaka huu la kuwania ubingwa wa World Boxing Organization(WBO) kwa upande wa Afrika (WBO Africa Champion)
Bondia Hassan Mwakinyo leo ametembelea ofisi za Rais wa Klabu ya Yanga Sc Eng. Hersi Said na kukutana nae kwa lengo la kutoa shukrani kwa sapoti aliyoitoa kwa bondia huyo kwenye pambano lake lililofanyika Zanzibar January 27 mwaka huu la kuwania ubingwa wa World Boxing Organization(WBO) kwa upande wa Afrika (WBO Africa Champion) Baada ya kuukabidhi mkatanda huo, Bondia Mwakinyo, amesema mchango aliyoitoa Eng. Hersi @caamil_88 ni mfano wa kuigwa hivyo amechukua nafasi hiyo kumuonyesha kile alichokuwa anakisapoti kimefanikiwa kwa ukubwa wake