Sat, 3 Jul 2021
Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz
MAKAMU Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrick Mwakalebela amesema amerudi na neema ndani ya timu hiyo.
Amesema amefunguliwa kipindi ambacho timu yake ina mchezo wa Ligi na watani Simba nakuweka wazi kuwa timu yake inashinda leo hivyo amerudi na neema.
“Tunawaheshimu wapinzani wetu wao ni bora na sisi ni bora zaidi yao baada ya dakika tisini ukweli utadhiilika,” amesema.
Mwakalebela alifungiwa miaka mitano na Shirikisho la Soka Tanzania baada ya kushinda kesi ameachiwa huru kujihusisha na soka.
Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz