Mon, 5 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Bingwa mtetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga imepata mapokezi ya kutosha wakati wakiwasili Mtwara kwaajili ya mchezo wao dhidi ya Ndanda FC utakao pigwa katika dimba la Nangwanda hapo kesho siku ya Jumatano.
Kupitia kwa msemaji wa Yanga SC, Dismasi Ten amesema kuwa ameshakiandaa kikosi chake vizuri kwaajili ya kupata matokeo katika mchezo huo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kuweza kusonga mbele.
Chanzo: bongo5.com