Mon, 23 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Mshambuliaji wa Taifa Stars na klabu ya Difaa El Jadid, Simon Msuva ameendelea kung’ara kwenye ligi kuu ya Morocco.
Mshambuliaji huyo jana (Jumapili) amefanikiwa kuifungia timu yake hiyo bao moja kati ya ushindi wa mabao 2-1 walioupata katika ligi kuu dhidi ya Raja Casablanca.
Mchezo huo uliocheza kwenye uwanja wa Stade Ben Ahmed El Abdi (El Jadida (Mazghan)).
Chanzo: bongo5.com