Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mrithi wa Coutinho baada ya Barcelona kumnunua kutoka Liverpool

1239 Riyad Mahrez TZW

Sun, 7 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Kwa mashabiki wa Liverpool siku ya jana na leo wapo katika kipindi kigumu baada ya Mshambuliaji wao, Philippe Coutinho kuikacha timu hiyo na kutimkia klabu ya Barcelona.

Riyad Mahrez

Habari nzuri ni kwamba Liverpool tayari wapo kwenye mazungumzo na Klabu ya Leicester City kumnunua mshambuliaji wa klabu hiyo, Riyad Mahrez ili kuziba pengo hilo.

Soma zaidi – Rasmi Philippe Coutinho ajiunga FC Barcelona

Kwa mujibu wa Mtandao wa Bein Sport umeeleza kuwa Mahrez leo ametua Liverpool kwa vipimo na usajili wake ni wa dau la Euro mi;lioni 55 na utadumu hadi 2022.

Chanzo: bongo5.com