Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mohamed Salah ashinda tuzo ya mchezaji bora March, aweka rekodi mpya EPL

6410 30087510 242037369696598 5240117172092534784 N TZW

Sun, 15 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Mchezaji hatari wa Liverpool, Mohamed Salah amefanikiwa kushinda tuzo ya mchezaji bora mwezi March.



Salah amewahi kushinda tuzo hiyo mwezi uliopita (February) na Novemba mwaka jana.



Mchezaji huyo anakuwa wa kwanza kuweza kushinda tuzo hiyo mara tatu katika msimu mmoja wa ligi.

Chanzo: bongo5.com