Tue, 1 Sep 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya SIMBA moo dewji ametangaza kumtafuta shabiki wa Simba aliyechaniwa jezi na mashabiki wanaoonekana wa Yanga.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram MO DEWJI amepost ujumbe huu wenye video hio:-
”Namtafuta shabiki huyu wa Simba aliyechaniwa jezi, nataka kukutana nae. Mpira ni Ushindani, Mpira ni Utani, Mpira sio Uadui!”
Chanzo: zanzibar24.co.tz