Fri, 4 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa amesema kuwa fedha wanazotarajia kuzipata kutoka Shirikisho la soka Afrika CAF zitakuja kwa utaratibu maalumu na siyo kama watu wanavyozungumza.
Loading...
Chanzo: bongo5.com