Thu, 26 Aug 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
MABINGWA wa Afrika, Al Ahly kutoka Misri wamemtambulisha mchezaji wa kimataifa wa Msumbuji Luis Miquissone ambaye wamemsajili kutoka klabu ya Simba.
MABINGWA wa Afrika, Al Ahly kutoka Misri wamemtambulisha mchezaji wa kimataifa wa Msumbuji Luis Miquissone ambaye wamemsajili kutoka klabu ya Simba. Ahly wamekamilisha dili hilo baada ya Miquissone kuisaidia Simba kutwaa ubingwa wa Ligi kuu Tanzania bara na kufanikiwa kuifikisha Simba hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika.
Chanzo: globalpublishers.co.tz