Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mbao FC yamsajili kocha wa Lipuli

8626 34079609 1847152122015059 3396181883925561344 N TZW

Mon, 4 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Klabu ya soka ya Mbao FC, imetangaza rasmi kumsajili kocha Amri Said.



Kocha huyo amesaini mkataba wa miaka minne ambao utamalizika msimu wa mwaka 2021/2022. Makubaliano hayo yamefikiwa katika ofisi za makao makuu ya wadhamini wa Mbao, GF Trucks &Equipment ltd zilizopo Vingunguti jijini Dar es salaam.

Msimu uliopita Amri Said alikuwa akiifundisha Lipuli FC huku msaidizi wake akiwa Selemani Matola na kuisaidia timu hiyo ikimaliza ligi kuu ikiwa kwenye nafasi ya saba.

Wakati huo huo Mbao imenusurika kushuka daraja msimu ulioisha ikiwa nafasi ya 14 na huku ikiambulia alama 29.

Loading...
Chanzo: bongo5.com