Mwanamasumbwi nchini Marekani, Floyd Mayweather ameamua kulifanyia kazi wazo lake la kuingia katika mapambano ya karate ‘mixed martial arts’ mchezo ambao hutumia viungo vyote vya mwili badala ya kutumia mikono pekee.
pic.twitter.com/JqWbuJ43eQ
— Floyd Mayweather (@FloydMayweather) January 30, 2018
Mayweather amelithibitisha hilo baada ya hapo jana siku ya Jumanne kuposti picha zake na kipande cha video kinachomuonyesha akiingia katika ulingo wa mchezo huo.
Kiongozi huyo wa timu ya The Money aliposti kipande hicho cha video bila kuandika kitu chochote ikiwa ni kama ishara ya kuingia katika mchhezo huo.
Bondia huyo mwenye umri wa miaka 40 alirejea katika mchezo wa masumbwi baada ya kupigana na McGregor na kushinda katika pambano lake la 50 pasipo kupoteza hata moja.
Hahahaha very good. Keep up the good work my son.
Yours sincerely,
Senior. https://t.co/Qk3U69isTS
— Conor McGregor (@TheNotoriousMMA) January 30, 2018
#MCM Mayweather Crushes McGregor. pic.twitter.com/i6p1K2QjGG
— Floyd Mayweather (@FloydMayweather) January 30, 2018