Ni ngumu kuzoea mazingira hasa rafiki yako wa karibu muliyezoeana kwa muda mrefu akisogea mbali kabisa na wewe – Kwa sasa kambi ya klabu ya Barcelona kunatawala huzuni baada ya kiungo wao Andres Iniesta kutangaza jana kuondoka mwishoni mwa msimu huu.
Mastaa wa klabu hiyo wakiongozwa na Lionel Messi, Luis Suarez na Gerard Pique wameonyesha hisia zao kwa mchezaji mwenzao huyo. Hapa chini ni baadhi ya maneno waliyoyaandika wachezaji wa Barca kwenye mitandao yao kuhusu kuondoka kwa Iniesta.
Lionel Messi
Andrés, thank you for all these years of football. It was a privilege to enjoy this sport by your side and spend so many unforgettable moments together. I wish you all the best in this new stage in sports and in your life. You are a phenomenon, inside and outside the court. We will miss you!!!
Luis Suarez
Today you made public your decision, but luckily I HAVE TIME TO CONTINUE ENJOYING YOURSELF, my friend!!! YOU ARE TOP