Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mashabiki Wataka Pitso Asajiliwe Kuinoa Man United

Pitso Mosimane Scaled Pitso

Tue, 23 Nov 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mashabiki wa mpira wa miguu nchini Afrika Kusini wameanzisha kampeni mitandaoni wakishinikiza Kocha bora wa Nchi hiyo Pitso Mosimane kupewa kazi ya kuwa Kocha katika klabu ya Manchester United .

Baada ya matokeo mabaya mfululizo Manchester ilimfuta kazi Ole Gunnar Solskjaer huku Makocha kadhaa wakihusishwa kuchukua mikoba yake lakini Afrika Kusini wanaamini Kocha wao Mosimame anaweza kuivusha Klabu hiyo.

Picha zinazomuonesha Mosimane akiwa amevaa nguo zenye nembo ya Manchester United zimeendelea kusambazwa, Kocha huyo kwa sasa anaifundisha Al Ahly ya Misri na rekodi yake inatajwa kuwa bora.

Unadhani Pitso anafaa kuwa Kocha mkuu wa Manchester United?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live