Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Marco Reus ajifunga kitanzi Dortmund mpaka 2023

4516 4A0AB2D400000578 5483273 Marco Reus Has Signed A New Contract At Borussia Dortmund Until  A 5 1 TZW

Sat, 10 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Borussia Dortmund ya Ujerumani, Marco Reus amesaini mkataba mpya wa miaka minne kuendelea kuichezea timu hiyo.



Reus amesaini mkataba huo ambao utamfanya kuendelea kubakia Dortmund mpaka ifikapo mwaka 2023.



Mchezaji huyo amekuwa nje ya uwanja kwa takriban miezi nane kutokana na kuuguza majeraha ya goti.

Chanzo: bongo5.com