Fri, 11 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Hafisa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara ameanza kuongea baada ya Yanga kuvuliwa taji rasmi la ligi kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2017/18.
Kupitia ukurasa wake wa kijamii wa instagram, Manara ameandika kuwa haki imechelewa huku akimshukuru Mungu kwa kufanikiwa kutwaa taji hilo.
Sifa ziende kwa Mwenyezimungu Mwingi wa Rehma..muumba mbingu na ardhi..niseme nn zaidi ya hapo?We are…..
We are
Haki imechelewa ila Mungu huyu ni wetu sote…..
Chanzo: bongo5.com